Skip to content
SmartStudy

Kusoma kwa Kina

Kusoma · Kusoma kwa Kina

Silabasi: CBC * Gredi ya 5 * Kiswahili * Mada 2.0 Kusoma * Mada Ndogo 2.2 Kusoma kwa Kina

Malengo ya somo

Kufikia mwisho wa mada hii, uweze:

  • Kutambua mpangilio wa maneno katika kamusi ili kupata maneno lengwa kwa urahisi.
  • Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno mbalimbali.
  • Kuchangamkia kutumia kamusi kukuza msamiati wako.

Muhtasari

Katika mada hii, utajifunza jinsi ya kutumia kamusi kutafuta maana za maneno, ukilenga maneno ya maamkuzi na maagano.

Next in KiswahiliKusoma kwa Ufasaha